Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike ambaye pia ni Mlezi wa Magereza SACCOS nchini akitoa hutuba ya ufungaji wa Mkutano Mkuu wa sita wa Mwaka wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara. Mkutano huo unaofanyika kwa siku mbili leo Oktoba 30, 2018 jijini Dodoma.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa sita wa Mwaka wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara wakimsikiliza Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(hayupo pichani) ambaye pia ni Mlezi wa Magereza SACCOS nchini .
Wanachama mbalimbali wa Saccoss ya Magereza wakiwa mbele ya wajumbe wakati wa uchaguzi wa Mjumbe wa Bodi ya Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara katika Mkutano huo.
Wajumbe wa Sekretarieti ya Mkutano Mkuu wa sita wa Mwaka wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara wakifuatilia ufungaji wa Mkutano huo.
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(katikati) ambaye pia ni Mlezi wa Magereza SACCOS nchini akiondoka ukumbini mara baada ya ufungaji wa Mkutano, aliyeambatanaye ni Mwenyeketi wa Bodi ya Magereza Saccos, SACP. Mbaraka Semwanza(kushoto). Kulia ni Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu, Gaston Sanga(Picha zote na Jeshi la Magereza).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...