Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na wafanyakazi wa NSSF alipotembelea banda hilo katika maonesho ya SIDO mkoani Simiyu.(wa pili kushoto ni Afisa matekelezo wa NSSF Simiyu Mr Khalid Omar, wa Tatu kushoto ni Stara Masatu ambaye ni Afisa mwandamizi wa NSSF Shinyanga,Katikati ni Abasi Cothema, Afisa mwandamizi sekta isiyo rasmi, na wa kwanza kulia ni Nuhu Ramadhani ambaye ni Mkuu wa Kituo cha NSSF Simiyu.Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Mtaka ametoa wito kwa NSSF kuwekeza nguvu kubwa katika kuhakikisha wajasiriamali wadogowadogo wanajiunga na NSSF

Afisa matekelezo wa NSSF Bwana Abdul- Aziz Abed akitoa elimu kwa wageni waliotembelea Banda la NSSF wakati wa maonesho ya SIDO yanayoendelea Mkoani Simiyu


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...