Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Martine Shigela (kulia) akipata maelezo kuhusu Hifadhi ya Jamii kutoka kwa Maafisa wa SSRA, wakati wa Maonesho ya Wiki Vijana Taifa yaliyofanyika katika viwanja vya Tangamano Jijini Tanga.
Meneja wa Huduma za Sheria SSRA Bw, Kitangu Ugula wa kwanza kushoto akitoa Elimu ya Umuhimu wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi waliotembelea banda la SSRA kwenye Maonesho ya Wiki ya Vijana Taifa Jijini Tanga. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Tafiti, Tathimini na Sera wa SSRA Bw. Joseph Mutashubilwa.
Watumishi wa SSRA wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika kituo cha kulelea wazee cha Duga Tanga, katika Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Taifa Jijini Tanga.
Maafisa kutoka SSRA wakito elimu ya Hifahi ya Jamii kwa viongozi wa Baraza la Vijana la Taifa Zanzibar walipotembelea banda la Mamlaka wakati wa Maonesho ya Wiki ya Vijana Taifa yanayofanyika katika Viwanja vya Tangamano Mkoani Tanga.
Watumishi wa SSRA wakishiriki zoezi la kufanya usafi katika kituo cha kulelea wazee cha Duga Tanga, katika Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Taifa Jijini Tanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...