: Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Khalid Salum Mohammed akizungumza na Wazee katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Waziri wa Kazi, Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto Maudline Castico akimkaribisha Mgeni rasmi Dkt. Khalid Salum Mohammed katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Baadhi ya Wazee waliohudhuria katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wazee duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Bakharesa Fumba Wilaya ya Magharib ‘B’ Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...