Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma SACP Gemini Mushy amesema kuwa mnamo disemba 27 majira ya jioni Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) katika kambi ya Chandarua iliyopo Wilayani Songea Mkoani Ruvuma askari aitwaye Ssgt Juma Uwesu Mkele akiwa kazini pamoja na raia Veronika Kayombo waliuawa kwa kupigwa risasi na askari wa JWTZ aitwaye Sgt Batisin Philip Samda akitumia bunduki aina ya SMG.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma SACP Gemini Mushy amesema kuwa askari Magereza aitwaye Adam Kunwa ambaye ni mganga katika Zahanati ya ya Gereza la Kitai lililopo Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma akiwa lindoni alijiua kwa kujipiga Risasi kichwani na kufariki na upelelezi wa polisi unaendelea ili kuweza kubaini nini chanzo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...