Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako(kulia) na Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai wakiweka saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika Sekta ya Elimu hususan katika lugha ya Kiswahili jana jijini Dodoma. 
Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako(kulia) akifurahia wakati Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai akionyesha hati ya mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika Sekta ya Elimu baina ya Tanzania na Sudan Kusini mara baada ya kuweka saini jana jijini Dodoma. (Picha na: Frank Shija – MAELEZO, Dodoma)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Elimu jana kwa ajili ya kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika Sekta ya Elimu hususan katika Lugha ya Kiswahili na Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai (kulia) jana jijini Dodoma. Kushoto ni Balozi wa Sudan Kusini nchini Tanzania, Mhe.Mariano Deng Ngor. 
Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akizungumza wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika Sekta ya Elimu hususan katika lugha ya Kiswahili na Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai (kushoto) jana jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ave Maria Semakafu. 
Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika Sekta ya Elimu hususan katika lugha ya Kiswahili na Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai (kushoto) jana jijini Dodoma. 
Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba wa makubalina ya ushirikiano katika sekta ya elimu baina ya Tanzania na Sudan Kusini jana jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako 
Balozi wa Sudan Kusini nchini Tanzania, Mhe.Mariano Deng Ngor akitoa neno la shukrani wakati wa hafla ya kutiliana saini mkataba wa makubalina ya ushirikiano katika sekta ya elimu baina ya Tanzania na Sudan Kusini jana jijini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako na Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Serikali ya Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Deng Deng Hoc Yai(katikati). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...