Mwendesha pikipiki maarufu kama boda boda akiwa amebeba abiria watatu (mshikaki) bila ya kuvaa kofia ngumu (helmet) katika barabara ya Kilwa, jijini Dar es salaam jana. (Picha na Emmanuel Massaka, MMG).
Mkazi wa  jiji la Dar es Salaam akipita jirani na takataka zilizotupwa kwenye mtaro barabara ya  Kilwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...