Mratibu wa taasisi ya Wataalamu wastaafu nchini Uholanzi(Netherlands Senior Experts),Wim Bredewold(kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho ndani ya Chuo cha Ufundi Arusha. 
Kituo hicho kitaendeshwa kwa pamoja kati ya Netherlands Senior Experts(PUM), Tanzania Renewable Energy Association (TAREA) na Chuo cha Ufundi Arusha(ATC).
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Masudi Senzia akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kituo cha mafunzo ya nishati Jua kitakachosaidia kuwapa vijana stadi za kazi na kutoa fursa ya kujiajiri.
Mwenyekiti wa Tanzania Renewable Energy Association (TAREA),Profesa Amini Kweka(kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho kitakachota mafunzo kwa vijana kutoka sehemu mbalimbali nchini. 
Mwenyekiti wa Tanzania Renewable Energy Association (TAREA),Profesa Amini Kweka(kulia) na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Masudi Senzia wakikata utepe kuzindua kituo cha mafunzo ya nishati Jua(Solar training centre) jijini Arusha. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kituo cha mafunzo ya solar ni nafasi kubwa ya ajira kwa vijana wa Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...