
Mkuu wa Kitengo cha Uchunguzi wa Silaha na Milipuko wa jeshi la Polisi Mrakibu Msaidizi wa Polisi John Mayunga akitoa elimuu kuhusu silaha na milipuko kwa askari wa Chuo cha Kijeshi Pangawe Morogoro walipofanya ziara ya mafunzo katika Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi iliyopo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. Zaidi ya askari 300 walipata mafunzo hayo hivi karibuni. Picha na Jeshi la Polisi.

Mkuu wa Kitengo cha Uchunguzi wa Hati wa jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi Maria Njenga akitoa elimu ya uchunguzi wa hati na maandishi kwa askari wa Chuo cha Kijeshi Pangawe Morogoro walipofanya ziara ya mafunzo katika Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi iliyopo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. Zaidi ya askari 300 walipata mafunzo hayo hivi karibuni. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...