Mh Dkt Damas Ndumbaro, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Mgeni Rasmi katika Hafla ya kuwakaribisha Mameya toka Marekani wenye asili ya Afrika. Hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Serena, Dar Es Salaam, iliandaliwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar Es Salaam, Mh Isaya Charles Mwita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...