Mh Dkt Damas Ndumbaro, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Mgeni Rasmi katika Hafla ya kuwakaribisha Mameya  toka Marekani wenye asili ya Afrika. Hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Serena, Dar Es Salaam, iliandaliwa  na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar Es Salaam, Mh Isaya Charles Mwita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...