Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga (kushoto) akizungumza na wageni na wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc baada ya uzinduzi wa duka jipya la kampuni hiyo lililopo Kigoma mjini hivi karibuni. Kampuni ya Vodacom ina maduka takribani 100 na madawati ya huduma (Service desks) 350 na inaendelea kupanua upatikanaji wa huduma ili kuwawezesha wateja wake kupata huduma kirahisi zaidi. Kulia ni Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Ziwa Domician Mkama, wengine ni watoa huduma wa duka hilo jipya.   


 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga (kushoto) akisaidiwa kuweka alama ya kidole na Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama kwa ajili ya kusajili laini ya mtandao huo wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Kigoma mjini hivi karibuni. 

 Mkuu wa Mauzo wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama (kushoto) akizungungumza na wateja wa kampuni hiyo waliohudhuria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom  lililopo kigoma mjini hivi karibuni. Kampuni ya Vodacom ina maduka takribani 100 na madawati ya huduma 350 (Service Desks) na inaendelea kupanua upatikanaji wa huduma ili kuwawezesha wateja wake kupata huduma kirahisi zaidi.  Kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga  na  wengine pichani ni watoa huduma wa duka hilo duka hilo jipya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...