Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja
(kulia) akitoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega Bwa. Anderson
Njiginya (wapili kulia) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya
Itilima Bi. Elizabeth Gumbo (wapili kushoto), walipotembelea Banda la
Maonesho ya Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja
(kulia) akitoa elimu ya mfumo wa kung,amua moshi kwa Mkurugenzi
Halmashuri ya Wilaya ya Maswa Dkt. Fredrick Sagamiko (kushoto) na
Mkurugenzi wa Halmashuri ya Wilaya ya Bariadi (SACF) Jemes John
(kulia), walipotembelea Banda la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Maonesho ya Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji

Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja
(kulia) akitoa elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto
kwa Mwenyekiti Halmashauri Kuu CCM Mkoa wa Simiyu Bwa. Ahmed
Abdi, alipotembelea Banda la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Maonesho
ya Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Afisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkaguzi Joseph Mwasabeja
(kulia) akitoa elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto
kwa Wakazi wa Mkoa wa Simiyu Bariadi na Mikoa ya Jirani,
walipotembelea Banda la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Maonesho ya
Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (Simiyu) Konstebo Magreth
Mabago (kusho) akitoa elimu ya kinga natahadhari dhidi ya majanga ya
moto kwa wanafunzi wa Simiyu Sekondari walipotembelea Banda la
Maonesho ya Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Konstebo Robert Mates akitoa
elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa wanafunzi
wa Shule ya Sekondari Banemhi, walipotembelea Banda la Maonesho
ya Nanenane simiyu. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...