Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwana Mkewe Mama Janeth Magufuli wapili kutoka kushoto,
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda,Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Mohamed Dewji, Waziri waViwanda Innocent Bashungwa, akikata utepe kuashiriaufunguzi wa Kiwanda cha 21 st Century Food andPackaging kilichopo jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuliakizungumza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha 21 st CenturyFood and Packaging Mohamed Dewji mara baada yauzinduzi wa kiwanda hicho.

Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuliakisikiliza maelezo ya kutoka kwa Mkurugenzi waKiwanda cha 21 st Century Food and Packaging MohamedDewji kuhusu ubora wa bidhaa mbalimbali za kiwandahicho jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...