Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dodoma Ndg. John Mchenya akiongea na Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)


Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Ndg. Frank Ngonyani akichangia jambo mbele ya kikao cha Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge walipokuwa wakichagua Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kwenye ukumbi wa Msekwa hii leo Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...