Wakufunzi wa mafunzo kwa watumishi wa umma na Maafisa Itifaki watakaotoa huduma kwa wageni watakaoshiriki Mkutano wa 39 wa SADC wakimsikiliza mtoa mada (hayupo pichani) wakati wa mafunzo hayo. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa Julius Nyerere

Baadhi ya watumishi wa umma na Maafisa Itifaki waliohudhuria mafunzo maalum ya namna yakuwahudumia wageni wa mkutano wa SADC wa 39 yaliyoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere

Baadhi ya watumishi wa umma na Maafisa Itifaki waliohudhuria mafunzo maalum kuhusu namna yakuwahudumia wageni wa mkutano wa SADC wa 39 wakifuatilia mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere,Dar es Salaam. 

Sehemu ya watumishi wa umma na Maafisa Itifaki waliohudhuria mafunzo maalum kuhusu namna yakuwahudumia wageni wa mkutano wa SADC wa 39 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...