Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia) akifurahia jambo na viongozi wa Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars mara baada ya kuwapokea wakitokea nchini Kenya walikowa katika mchezo wa marudiano na Timu ya Taifa ya Kenya katika mashindaon ya CHAN, Tanzania ilishinda 4 dhidi ya goli moja la Kenya.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia) akisalimiana na viongozi wa Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars mara baada ya kuwapokea wakitokea nchini Kenya walikowa katika mchezo wa marudiano na Timu ya Taifa ya Kenya katika mashindaon ya CHAN, Tanzania ilishinda 4 dhidi ya goli moja la Kenya.

Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars wakiwasili toka nchini Kenya walikowa katika mchezo wa marudiano na Timu ya Taifa ya Kenya katika mashindaon ya CHAN, Tanzania ilishinda 4 dhidi ya goli moja la Kenya.

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars, John Bocco akifanya mahojiano na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili toka nchini Kenya walikowa katika mchezo wa marudiano na Timu ya Taifa ya Kenya katika mashindaon ya CHAN, Tanzania ilishinda 4 dhidi ya goli moja la Kenya.

Viongozi na Wachezaji Timu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars wakiwasili toka nchini Kenya walikowa katika mchezo wa marudiano na Timu ya Taifa ya Kenya katika mashindaon ya CHAN, Tanzania ilishinda 4 dhidi ya goli moja la Kenya.Picha na WHUSM – Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...