Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tazania Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati wa kutembelea mabanda mbalimbali katika kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda, lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na Mwenyeji wake Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli wakisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati walipotembelea mabanda kwenye Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu walipokuwa kwenye ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...