Dkt. Patrick akionesha mfumo unaotumika katika Hospitali ya Taifa
ya Muhimbili wa kuingiza majina na maelezo ya wagonjwa na mpango wa
kuwahudumia kupitia kompyuta.
Mtaalam wa kutumia CT scan mashine akielezea jinsi mashine hiyo
inavyofanya kazi na idadi ya watu inayohudumia kwa siku katika Hospitali
ya Taifa Muhimbili leo jijini Dar es Salaam.
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo
katika ziara yake ya kutembelea kituo cha Radio City Fm, kinachomilikiwa
na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Itifaki, Uhusiano na Umma, Gaston
Makwembe akifafanua jambo katika ziara iliyofanywa na Msemaji Mkuu
wa Serikali Dkt. Hassan Abbas ya kutembelea kituo cha Radio City Fm,
kinachomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo katika kitengo cha utalii cha
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akiwafafanulia jambo Madaktari wa Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili leo Jijini Dar es salaam.
Dkt. Hedwiga Swai akielezea mfumo wa matumizi ya mashine ya
Imaging Resonance Magnetic (IMR) katika chumba maalum cha uchunguzi
wa magonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, leo Jijini Dar es
Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...