Rais wa Yoweri Museven wa Uganda akiagana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsindikiza Rais wa Yoweri Museven wa Uganda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Yoweri Museven wa Uganda wakiwapungia mikono Wananchi mbalimbali waliofika kwa ajili ya kumuaga kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Yoweri Museven wa Uganda wakiwapungia mikono Wananchi mbalimbali waliofika kwa ajili ya kumuaga kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam leo Sept 07,2019 baada ya kukamilisha Ziara yake ya kikazi ya siku Tatu hapa Nchini.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...