Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali Mstaafu Ngemela Lupinga (kulia) akifafanua jambo kwenye Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji wa Madini yanayoendelea mjini Geita tarehe 27 Septemba, 2019. Kushoto ni watalam kutoka Tume ya Madini, Msafiri Kussa na Monica Mkumbo.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali Mstaafu Ngemela Lupinga (kulia) akisalimiana na mtaalam kutoka Tume ya Madini, Monica Mkumbo (kushoto) mara baada ya kuwasili katika banda hilo kwenye Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji wa Madini yanayoendelea mjini Geita tarehe 27 Septemba, 2019.

Mhandisi Mchenjuaji Mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST), Priscus Kaspana (kulia) akimwonesha sampuli za madini Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali Mstaafu Ngemela Lupinga (kushoto) kwenye Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji wa Madini yanayoendelea mjini Geita tarehe 27 Septemba, 2019

Mhandisi Migodi wa Wizara ya Madini, Johnbosco Karungamye (katikati) akielezea majukumu ya Wizara kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali Mstaafu Ngemela Lupinga (kushoto) kwenye Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji wa Madini yanayoendelea mjini Geita tarehe 27 Septemba, 2019.

Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo kwa Upande wa Taaluma kutoka Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Elvanus Kapira (kushoto) akielezea kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho kwa Kanali Mstaafu Ngemela Lupinga (kulia) kwenye Maonesho ya Teknolojia na Uwekezaji wa Madini yanayoendelea mjini Geita tarehe 27 Septemba, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...