Katika pita pita za kamera man wa Globu ya Jamii, akiwa katika barabaraba ya Rose Garden na kukutana na Lori hili la kuchanganya zege likiwa limekata wese, mara akashuka utingo cha kifaa cha kutahadhalisha kuwa mchuma huo hauko poa na kukiweka kama kionekanavyo hapo na kulekea kuchukua zake wese. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...