Mvua zinazoendelea kunyesha katika Jijini Dar es salaam na kuleta athari kwa baadhi ya mitaa kujaa maji, kama inavyooneka pichani nyumba hizo zipo wilaya ya Kigamboni.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Nyumba zikiwa imezingirwa na maji kutokana mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji la Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...