Wachuuzi wa Samaki katika Soko kuu la samaki la kimataifa Feri wakiendelea na shughuli zao mbalimbali katika soko hilo kama wanavyoonekana pichani leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv).
Mchuuzi wa Samaki wa soko la Samaki feri akimkata kata samaki aina ya  Changu kwa ajili ya kupeleka mtaani kuuzwa,amapo Changu mmoja huuzwa kati Elfu tatu mpaka 20,000/= kulingana na ukubwa/uzito
Wachuuzi wa samaki katika Soko kuu la samaki la kimataifa Feri jijini Dar es Salaam wakitayarisha Samaki kwa lengo la kuwauza kwa wateja mbalimbali watakaofika katika soko hilo kama inavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...