Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas wa pili kutoka kulia akiongea na Askari wa kutuliza Ghasia katika Kituo cha Polisi cha Kasulu mapema leo kabla ya kuingia kwenye kikao chake na Watendaji Kata na Maafisa Taarafa.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas wa tano kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Jeshi la Polisi pamoja na Watendaji Kata na Maafisa Taarafa baada ya kumalizika kwa kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi uliopo kituo cha Polisi Kasulu mkoani Kigoma.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...