Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, akiwa na maafisa kutoka Makao Makuu ya Polisi pamoja na Kamanda wa Mkoa wa Kigoma ACP Martin L. Otieno Wamewasili katika Wilaya ya Kasulu mkoani humo kwaajli ya kusikiliza malalamiko ya wananchi pamoja wa wafanyabiashara wadogo wadogo wa Soko la Sophia, kutokana na kuwepo na wahalifu wanaotumia wilaya kama njia ya kuvushia silaha kutoka nchi za jirani, ila wengine hushirikiana na waharifu kutoka nchi za jirani kuja wilayani hapo na kufanya uhalifu wao kisha kukimbilia  nchi za jirani kama vile Burundi na Rwanda.
 Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, akiwa na maafisa kutoka Makao Makuu ya Polisi pamoja na Kamanda wa Mkoa wa Kigoma ACP Martin L. Otieno Wamewasili katika Wilaya ya Kasulu mkoani humo kwaajli ya kusikiliza malalamiko ya wananchi pamoja wa wafanyabiashara wadogo wadogo wa Soko la Sophia, kutokana na kuwepo na wahalifu wanaotumia wilaya kama njia ya kuvushia silaha kutoka nchi za jirani, ila wengine hushirikiana na waharifu kutoka nchi za jirani kuja wilayani hapo na kufanya uhalifu wao kisha kukimbilia  nchi za jirani kama vile Burundi na Rwanda.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, akiwa na maafisa kutoka Makao Makuu ya Polisi pamoja na Kamanda wa Mkoa wa Kigoma ACP Martin L. Otieno Wamewasili katika Wilaya ya Kasulu mkoani humo kwaajli ya kusikiliza malalamiko ya wananchi pamoja wa wafanyabiashara wadogo wadogo wa Soko la Sophia, kutokana na kuwepo na wahalifu wanaotumia wilaya kama njia ya kuvushia silaha kutoka nchi za jirani, ila wengine hushirikiana na waharifu kutoka nchi za jirani kuja wilayani hapo na kufanya uhalifu wao kisha kukimbilia  nchi za jirani kama vile Burundi na Rwanda.(PICHA NA JESHI LA POLISI)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...