Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania, Paul Muhato (wa pili kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakati wakikagua moja ya kisima cha mafuta ikiwa ni sehemu ya kilele cha Wiki ya Usalama ambayo huadhimishwa kati ya tarehe 21 mpaka 25, Oktoba Duniani kote, ambapo kwa upande wa Engen wamefanya kilele hicho kwa kutembele na kukagua sehemu za usalama katika Kituo chao cha Mikocheni Jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania, Paul Muhato akikagua moja ya mitundi ya kuzimia moto, katika Kituo cha mafuta cha Engen Mikocheni ikiwa ni sehemu ya kilele cha Wiki ya Usalama ambayo huadhimishwa kati ya tarehe 21 mpaka 25, Oktoba Duniani kote, ambapo kwa upande wa Engen wamefanya kilele hicho kwa kutembele na kukagua sehemu za usalama katika Kituo chao cha Mikocheni Jijini Dar es salaam leo. 











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...