Katibu wa CCM wilaya ya Londigo Ezekiel Mollel akionyesha kadi alizozipokea jana kutoka kwa wanachama wa Chadema
 Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Longido Ezekiel Mollel jana amewapokea wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),akiwepo katibu wa Chama hicho wilaya Mch Isaya Nguchika na mwenezi wake Emmanuel Rekali(Habari picha na Pamela Mollel)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...