Katibu wa CCM wilaya ya Londigo Ezekiel Mollel akionyesha kadi alizozipokea jana kutoka kwa wanachama wa Chadema
Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Longido Ezekiel Mollel jana amewapokea wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),akiwepo katibu wa Chama hicho wilaya Mch Isaya Nguchika na mwenezi wake Emmanuel Rekali(Habari picha na Pamela Mollel)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...