Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora ww Ulaya Virgil van Dijk ni mmoja wa wachezaji saba wa Liverpool waliotajwa kwenye orodha fupi ya wanaume 30 tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d'Or ya 2019.
Tuzo hizo zitatolewa Desemba 2 mwaka huu na wa timu ya Liverpool jumla ya wachezaji saba wametajwa na kufanya timu kutoka Ligi ya England kuingiza wachezaji wengi.
Wachezaji hao ni Mohamed Salah, Sadio Mane, Roberto Firmino, Trent Alexander-Arnold, Georginio Wijnaldum na Alisson pia wamechaguliwa kutoka kwa Reds.
Timu ya Manchester City imeingiza wachezaji watano ambao ni Raheem Sterling, Riyad Mahrez, Kevin de Bruyne, Bernardo Silva na Sergio Aguero , Wengine ni Tugoham Hugo Lloris na Son Heung-min pia wamejumuishw kutoka Tottenham Spurs.
Mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo na Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi, ambao wameshinda tuzo hiyo mara 10 kati yao, wanaonekana tena kati ya wagombea huku Mshambuliaji Paris St-Germain na Brazil Kylian Mbappe.
Barcelona wana wachezaji wanne ambao wengine ni Frenkie de Jong, Marc-Andre ter Stegen na Antoine Griezman.
Walinda milango ni Alisson wa Liverpool, Ederson wa Manchester City, Kepa Arrizabalaga wa Chelsea na Lloris wa Tottenham.
Walioteuliwa pia ni Manuel Neuer wa Bayern Munich, Samir Handanovic wa Inter Milan, Jan wa Oblak wa Atletico, Ajax's Andre Onana, Juventus 'Wojciech Szczesny na Ter Stegen wa Barcelona.
Mchezaji bora chini ya miaka 21 na huchaguliwa na washindi wa zamani wa Ballon d'Or na mwaka 2018, Kylian Mbappe kutoka Paris St-Germain aliweza kuchukua tuzo hiyo.
Waliochaguliwa kuwania tuzo hiyo kwa mwaka huu ni pamoja na Jadon Sancho 19 kutoka Borussia Dortmund na England Moise Kean, 19 Everton, Italia na kiungo wa Ufaransa wa Matteo Guendouzi, 20.
Wengine ni mlinzi wa Uholanzi wa Juventus Matthijs de Ligt, 20, beki wa Real Madrid, Vinicius Junior, 19, Valladolid na beki wa Ukraine Andriy Lunin, 20, Bayer Leverkusen na kiungo wa Ujerumani Kai Havertz, 20, Atletico Madrid na Joao Felix , 19, Ureno Villarreal na mshindi Samuel Chukwueze, 20, Nigeria na Lee Kang-in, 18 Valencia na Korea Kusini.
Orodha ya wachezaji wote ni kama ifuatavyo.
Virgil van Dijk (Liverpool)
Bernardo Silva (Manchester City)
Son Heung-min (Tottenham)
Robert Lewandowski (Bayern Munich)
Roberto Firmino (Liverpool)
Alisson (Liverpool)
Matthijs de Ligt (Juventus)
Karim Benzema (Real Madrid)
Georginio Wijnaldum (Liverpool)
Sergio Aguero (Manchester City)
Frenkie de Jong (Barcelona)
Hugo Lloris (Tottenham)
Dusan Tadic (Ajax)
Cristiano Ronaldo (Juventus)
Kylian Mbappe (Paris St-Germain)
Trent Alexander-Arnold (Liverpool)
Donny van de Beek (Ajax)
Pierre-Emerick Aubameyang (Arsenal)
Marc-Andre ter Stegen (Barcelona)
Sadio Mane (Liverpool)
Lionel Messi (Barcelona)
Riyad Mahrez (Manchester City)
Kevin de Bruyne (Manchester City)
Kalidou Koulibaly (Napoli)
Antoine Griezmann (Barcelona)
Mohammed Salah (Liverpool)
Eden Hazard (Real Madrid)
Marquinhos (Paris St-Germain)
Raheem Sterling (Manchester City)
Joao Felix (Atletico Madrid)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...