Mwenyekiti wa NYCT, Bwana Seif Akida akimkabidhi zawadi ya kumbukumbu Mh. Balozi Mero, Balozi Mero anaestahafu baada ya kufanya kazi kwenye majengo ya Umoja wa Mataifa New York kama mwakilishi wa kudumu. Community ya Watanzania New York inathamini sana mchango wake wa kujitoa kwa hali na mali kila alivyopata nafasi ya kuudhulia sehemu mbalimbali ndani ya community. Community ya Watanzania New York itamkosa sana na inamtakia maisha mema na afya njema huko nyumbani Tanzania.


Mwenyekiti wa NYCT Bwana Akida akimkaribisha Mh. Balozi.

Mh. Balozi Mero akiongea mbele ya Watanzania waliojitokeza kuja kumuuga.
Mh. Mero kipata ukodak na viongozi walioteuliwa kujaza nafasi ambazo zilikuwa wazi.

Zawadi kutoka New York Tanzania Community kwa Mh. Balozi. Balozi Mero ulikuwa mtu wawatu na chapa kazi, kwa picha zaidi nenda chini.


Mama Balozi akiwaaga wanacommunity.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...