Mh. Balozi Mero akiongea mbele ya Watanzania waliojitokeza kuja kumuuga.
Mh. Mero kipata ukodak na viongozi walioteuliwa kujaza nafasi ambazo zilikuwa wazi.
Zawadi kutoka New York Tanzania Community kwa Mh. Balozi. Balozi Mero ulikuwa mtu wawatu na chapa kazi, kwa picha zaidi nenda chini.

Mama Balozi akiwaaga wanacommunity.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...