Afisa Biashara Mkuu wa Tigo, Bw.Tarik Boudiaf akizungumza na watoa huduma katika hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapema ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.

Mkurungezi Mtendaji wa Tigo Simon Karikari akizungumza na watoa huduma katika hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapema ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.

Baadhi ya watoa huduma wa Tigo wakiwa makini kufuatilia hotuba ya Mkurungezi mtendaji wa Tigo Simon Karikari a hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapema ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.
Meneja wa Huduma kwa wateja wa Tigo , Mwangaza Matotola akizungumza na a watoa huduma katika hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapema ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.

Baadhi ya watoa huduma wa Tigo wakiserebuka na burudani ya muziki katika hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapemaikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.
vicheko na furaha vilitawala hafla hiyooo
Mkurungezi Mtendaji wa Tigo Simon Karikari akiwa katika picha ya pamoja na watoa huduma katika hafla ya kuwapongeza kwa kutoa huduma bora kwa wateja iliyofanyika mapema ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja .Hafla hii ilifanyika jana mapema jijini Dar Es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...