Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya kusimamia haki za kazi za wasanii nchini mara baada ya kuizindua mapema hii leo jijini Dar es Salaam

Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akizindua Kamati ya kusimamia haki za kazi za wasanii nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Bi. Sarah Nsangizyo Zilahulula na kushoto ni mjumbe Dkt. Dorah Mwenegoha.

Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati waziri alipokuwa akizindua Kamati ya kusimamia haki za kazi za wasanii nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kusimamia haki za kazi za wasanii nchini wakimsikiliza Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati waziri alipokuwa akizindua kamati hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Picha na WHUSM – Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...