Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akipiga mpira kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Baadhi ya wanafunzi wa ualimu wakiandamana kuelekea katika uwanja wa Nangwanda mkoani Mtwara wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Baadhi ya walimu wa vyuo vya ualimu na viongozi mbalimbali wakimsikiliza mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo picchani) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Baadhi ya wanafunzi wa ualimu wakiingia katika uwanja wa Nangwanda mkoani Mtwara wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo akizungumza wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evodia Mmanda kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini mapema hii leo mkoani Mtwara.
Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na washiriki wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu nchini wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo mapema hii leo mkoani Mtwara.

Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akisalimiana na washiriki wa mashindano ya michezo na sanaa kwa vyuo vya ualimu
Picha na WHUSM – Mtwara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...