KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt.Bashiru Ally Kakurwa, akizungumza na Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Mjini katika mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha CCM Unguja.

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini Ndugu Talib Ali Talib akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Dkt.Bashiru Ally katika Mkoa wa Mjini kichama.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt.Bashiru Ally Kakurwa,akizungumza na kutoa salamu za Chama Cha Mapinduzi kwa Vijana na Wanachama mbali mbali walioshiriki katika mapokezi yake katika Mkoa wa Mjini kichama.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt.Bashiru Ally Kakurwa,akivishwa Skafu na Vijana Maalum wa UVCCM baada ya kuwasili katika Ofisi ya CCM Jimbo la Jang’ombe Matarumbeta Unguja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...