Wafanyakazi wa Kampuni ya Kuosha Magari ya Glitters Car Grooming Bays ya jijini Dar es Salaam wakishangilia wakati wa kutoa huduma ya uoshaji magari bure leo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa Kampuni hiyo. 
Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Glitters Abdallah Motto amesema changamoto kubwa wanazozipitia ni kukimbiwa na wafanya kazi ambao kabla huwapa elimu ya namna ya uoshaji magari lakini baadaye hukimbia.

Aidha katika sherehe hiyo kulikua na utoaji wa elimu kwa namna ya uendeshaji magari kwa kuzingatia usalama wa muendeshaji na abiria wawapo barabarani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...