Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi akizungumza na majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, walioapishwa leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA)-Lushoto (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania walioapishwa leo.(Picha na Magreth Kinabo-Mahakama)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...