Mkurugenzi Mtendaji (Tigo), Simon Karikari, akiwasilisha mada juu ya kukuza maendeleo ya sekta ya fedha kupitia mifumo ya kidigitali katika mkutano wa 19 wa taasisi za kifedha nchini unaoendelea jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Godfrey Simbeye.
Mkurugenzi Mtendaji (Tigo), Simon Karikari, akiwasilisha mada juu ya kukuza maendeleo ya sekta ya fedha kupitia mifumo ya kidigitali katika mkutano wa 19 wa taasisi za kifedha nchini unaoendelea jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Godfrey Simbeye.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...