RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na wageni wake Ujumbe wa Madaktari wa Chama Cha Wapatholojia Tanzania (APT) walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo 1/11/2019 wakiwa Zanzibar.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Madaktari wa Chama Cha Wapatholojia Tanzania (APT) walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo,( kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Chama Cha Wapatholijia Tanzania Dkt. Charles Massambura akiwa na ujumbe wake. wakiwa Zanzibar kwa ziara ya siku mbili hafla imefanyika leo 1/11/2019 Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...