Msanii wa kizazi kipya hapa nchini AliKiba amepongezwa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri kwa mchango wake wa vifaa tiba vya zaidi ya shilingi Milioni 6 kwa wananchi wa mkoa huo.
AliKiba alikabidhi vifaa hivyo kwa Aggrey Mwanri ikiwa ni sehemu ya kurejesha shukrani zake kwa wananchi wa Tabora katika tamasha lake ‘AliKiba Uforgetable Tour’ litakalofanyika Novemba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...