Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi nchini kuhakikisha wanapata leseni za madini kama Sheria ya Madini na Kanuni zake inavyofafanua.

Profesa Kikula aliyasema hayo leo tarehe 02 Novemba, 2019 katika machimbo ya mchanga katika maeneo ya Mgongo na Igingilanyi yaliyopo Wilayani Iringa Mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani humo yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini ya ujenzi, kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wachimbaji wa madini hayo.

Ninawasilisha kwenu story, picha pamoja na captions ambazo zimeambatishwa pamoja na email hii. Captions zinapatikana mwishoni mwa story iliyoambatishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...