Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akiwasilisha mada kuhusu uandaaji wa taarifa kwa umma wakati wa mafunzo kwa Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali Jijini Dodoma leo tarehe 3 Desemba 2019. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni awamu ya pili kufanyika yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali (TAGCO). Majadiliano ya vikundi Baadhi ya Maafisa wakifanya mazoezi kwa vitendo ya namna ya uandishi wa Taarifa kwa Umma/Vyombo vya Habari wakati wa mafunzo ya Mawasiliano ya Kimkakati kwa Maafisa Habari kutoka wizara, taasisi, mashirika ya umma na halmashauri nchini leo tarehe 03 Desemba 2019 Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni awamu ya pili kufanyika yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali (TAGCO). Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania (TAWA), Bw. Twaha Twaibu akichangia mada wakati wa mafunzo ya Mawasiliano ya Kimkakati kwa Maafisa Habari kutoka wizara, taasisi, mashirika ya umma na halmashauri nchini leo tarehe 03 Desemba 2019 Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni awamu ya pili kufanyika yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali (TAGCO). Mjumbe wa kamati tendaji ya Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali (TAGCO), Bw. Innocent Byarugaba akiwaongoza Maafisa Habari kumpongeza Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi (mwenye suti nyeusi) mara baada ya kumaliza kuwasilisha mada kuhusu uandaaji wa taarifa kwa umma/vyombo vy habari wakati wa mafunzo ya Mawasiliano ya Kimkakati Maafisa hao leo tarehe 03 Desemba 2019 Jijini Dodoma.Kulia ni Katibu Mtendaji wa TAGCO, Bw. Abdul Njaidi. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni awamu ya pili kufanyika yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali (TAGCO). (Picha zote na: Idara ya Habari – MAELEZO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...