LINDA BEZUIDENHOUT COUTURE YA MTANZANIA  ANAEISHI ATLANTA  MAREKANI IMEWEKA IMEWEKA REKODI WEEKEND ILIOPITA JIJINI ATLANTA KWENYE HAFLA YA   HARAMBEE KUCHANGIA ELIM U IJULIKANAYO MAKA ATLANTA MAYORS BALL. 
MAYOR WA ATLANTA KEISHA LANCE BOTTOMS NA MAMA  YAKE SYLVIA BOTTOMS WALIENDA KWENYE DUKA LA LB COUTURE KUNUNUA NGUO NA NDIPO LINDA ALIVOPATA FURSA YA KUMVISHA MAYOR WA ATLANTA NA MAMA  YAKE.
KWENYE PICHA ZIFUATAZO KUNA BAADHI YA MA-STAR WALIJITOKEZA KWENYE HAFLA HIYO YA HADHI KUBWA WAKIWA NA MAVAZI YA LINDA BEZUIDENHOUT COUTURE .
 Mstahiki Meya wa jiji la Atlanta Keisha Lance Bottoms na mumewe Cedric Bottoms wakiwasili kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi Atrium wa hoteli ya Atlanta Marriot Marquis, jijini Atlanta, Marekani. Gauni alilovaa limetengenezwa na Mtanzania Linda Bezuidenhot
 Mstahiki Meya wa jiji la Atlanta Keisha Lance Bottoms na mumewe wakiwasili kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi Atrium wa hoteli ya Atlanta Marriot Marquis, jijini Atlanta, Marekani.

 Mstahiki Meya wa jiji la Atlanta Keisha Lance Bottoms na mumewe wakiwasili kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi Atrium wa hoteli ya Atlanta Marriot Marquis, jijini Atlanta, Marekani.

Mama wa Meya wa Atlanta Sylvia Robinson nae alivalishwa na Linda





 Linda akiwa na mwanasiasa mkongwe Andrew Young
 Linda akiwa VIP reception na mteja wake GIZELLE BRYANT wa kipindi cha House Wives of Potomac
 Linda akiwa VIP reception na mteja wake GIZELLE BRYANT wa kipindi cha House Wives of Potomac na wengine
 Linda akiwa VIP reception akihojiwa




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...