Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Richard Kayombo (katikati aliyevaa miwani) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa kodi wa mamlaka hiyo baada ya kupanga mikakati ya Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi kwa wafanyabiashara wa eneo la Mabwepande Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
Mfanyabiashara wa duka la rejareja wa eneo la Mabwepande Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Cathbert Kagirwa akitoa maoni yake kwa Afisa Kodi Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Rose Mahendeka wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Isihaka Shariff akitoa elimu ya kodi kwa mmoja wa wafanyabiashara wa Kariakoo Wilaya ya Ilala wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Catherine Mwakilagala akitoa elimu ya kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara wa eneo la Tandika Wilaya ya Temeke wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019.
Afisa Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zakeo Kowero akitoa elimu ya kodi kwa mmoja wa wafanyabiashara wa eneo la Kivule Wilaya ya Ilala wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani Dar es Salaam ambayo itamalizika tarehe 14 Desemba, 2019. (PICHA ZOTE NA TRA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...