Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe.Benjamin William Mkapa, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mfanyabiashara maarufu ndani na nje ya nchi,Marehemu Ali Mufuruki  leo katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)
 Mkurugenzi wa Taasisi Binafsi Nchini Tanzania (TPSF) Godfrey Simbeye akitoa salamu za rambirambi wakati wa kuagwa mwili wa mfanyabiashara maarufu Ali Mufuruki leo  jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)





 
 
 
 





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...