Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (kulia) akizungumza muda mchache kabla ya kutangazwa kwa mshindi wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya Muziki ya BSS 2019 msimu wa kumi yaliyofanyika Desemba 24/2019 jijini Dar es Salama ambapo Meshak Fukuta aliibuka mshindi.

Meshack Fukuta ambaye alikuwa Mshiriki wa mashindano ya Kusaka Vipaji ya BONGO STAR SEARCH Ameibuka Mshindi wa Mashindano hayo ambapo fainali yake ilifanyika leo Katika Ukumbi wa NEXT DOOR ARENA uliopo Masaki.Meshack Fukuta amefanikiwa kuondoka na Kitita cha Milioni 20.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...