Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwana
samaki aina ya Sangara waliowavua Ziwa Victoria walipofanya ziara ya
Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa Cha Rubondo wilayani Chato mkoa wa Geita leo
Desemba 31, 2019

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
akiwa amefanikiwa kuvua samaki aina ya Sangara Ziwa Victoria wakati wa
ziara ya Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa Cha Rubondo wilayani Chato mkoa wa
Geita leo Desemba 31, 2019

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...