

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) pamoja na maafisa na askari wa Jeshi Usu la Mamlakahiyo wakati alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) pamoja na maafisa na askari wa Jeshi Usu la Mamlaka hiyo wakati alipotembeleaHifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakielezwea jambo kuhusu sehemu ya Ziwa Victoria na Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazialipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

Sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo kama inavyoonekana kutoka angani leo Jumanne Desemba 31, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipanda Kivuko kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono boti lililobeba watalii wakati wakielekea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo ambako yeye pia alitembelea leo JumanneDesemba 31, 2019


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John PombeMagufuli akiwa na familia ya watalii ya klutoka Ufaransa ya Bw. Arnaudde Vanssay aliokutana nao wakati akitembelea Hifadhi ya Taifa yaKisiwa cha Rubondo leo Jumanne Desemba 31, 2019
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...