Barabara ya kilomita 3.8 iliozinduliwa na Waziri wa Katiba na Sheria Khamis Juma Mwalimu Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar.
  Waziri wa Katiba na Sheria Khamis Juma Mwalimu akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Barabara ya Kilomita 3.8 Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar. alie na  Mtandio Mwekundu ni Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dk, Sira Ubwa Mamboya.
  Waziri wa Katiba na Sheria Khamis Juma Mwalimu katikati  akifungua pazia katika hafla ya  Uzinduzi wa Barabara ya Kilomita 3.8 Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar
 Baadhi ya Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika hafla ya Uzinduzi wa Barabara ya Kilomita 3.8 Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar

 Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dk, Sira Ubwa Mamboya.akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeno rasmi katika  hafla ya Uzinduzi wa Barabara ya Kilomita 3.8 Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar
Waziri wa Katiba na Sheria Khamis Juma akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Barabara ya Kilomita 3.8 Donge Muwanda Wilaya ya Kaskazini B Unguja Ikiwa ni shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi Zanzibar .PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...