Mkuu wa Kitengo cha Biashara ya Kadi wa Benki ya CRDB, Farid Seif akifanya malipo kwa kutumia  huduma ya “Chanja, Lipa, Sepa” ya Benki ya CRDB kwa kutumia TemboCardVisa, baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika leo kwenye Duka la Miniso, Mlimani City, jijini Dar es salaam. Benki ya CRDB imezindua rasmi huduma ya “Chanja, Lipa, Sepa” kwa maduka yote yanayokubali malipo ya kadi, ambapo wateja watakao fanya malipo kwa TemboCardVisa na  SimBankingVisa wataweza kufurahia punguzo la bei hadi asilimia 60 kwa manunuzi ya kuanzia shilingi 30,000 katika maduka na migahawa mbalimbali hapa nchini.
Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Kadi wa Benki ya CRDB, Farid Seif akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya kufanya malipo kwa kutumia kadi ijulikanayo kama “Chanja, Lipa, Sepa” uliofanyika leo kwenye maduka ya GSM na Miniso, yaliyopo Mlimani City, jijini Dar es salaam.
Meneja wa Mahusiano na Huduma za Uwakala wa Benki ya CRDB, Fadhil Mollel akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya kufanya malipo kwa kutumia kadi ijulikanayo kama “Chanja, Lipa, Sepa” uliofanyika leo kwenye maduka ya GSM na Miniso, yaliyopo Mlimani City, jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...