Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akishuhudia fainali za mchezo wa karata hii leo visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akipiga mpira akiwa na timu kutoka Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambao wameibuka kidedea dhidi ya timu pinzani kutoka Utumishi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akizungumza na wanamichezo (hawapo pichani) katika bonanza maalumu la kuadhimisha miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Bonanza hilo limehusisha michezo ya aina mbalimbali ikiwemo mchezo wa Mpira wa Pete, Mpira wa Kikapu, mchezo wa nage, mchezo wa karata, mchezo wa bao na mchezo wa kuvuta kamba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...