Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akishuhudia fainali
za mchezo wa karata hii leo visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya
shamrashamra za sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akipiga mpira akiwa
na timu kutoka Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambao wameibuka
kidedea dhidi ya timu pinzani kutoka Utumishi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawe akizungumza na
wanamichezo (hawapo pichani) katika bonanza maalumu la kuadhimisha miaka
56 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Bonanza hilo limehusisha michezo ya aina
mbalimbali ikiwemo mchezo wa Mpira wa Pete, Mpira wa Kikapu, mchezo wa
nage, mchezo wa karata, mchezo wa bao na mchezo wa kuvuta kamba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...