Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya 
Uwekezaji wa mitaji ya umma (PIC) wakiwa katika kikao cha kamati hiyo 
ambapo walikutana na watendaji wa Shirika la Reli linalomilikiwa na 
Tanzania na Zambia (TAZARA) kwenye Ofisi za Bunge Jijini Dodoma hii leo.
 (Picha na Ofisi ya Bunge)

Mwenyekiti wa 
Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa mitaji ya umma (PIC)Dkt.Raphael Chengeni
 akiongoza kikao cha kamati hiyo ilipokutana na watendaji wa Shirika la 
Reli linalomilikiwa kwa ubia baina ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kwenye
 Ofisi za Bunge Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge).



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...