Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa mitaji ya umma (PIC) wakiwa katika kikao cha kamati hiyo ambapo walikutana na watendaji wa Shirika la Reli linalomilikiwa na Tanzania na Zambia (TAZARA) kwenye Ofisi za Bunge Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa mitaji ya umma (PIC)Dkt.Raphael Chengeni akiongoza kikao cha kamati hiyo ilipokutana na watendaji wa Shirika la Reli linalomilikiwa kwa ubia baina ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kwenye Ofisi za Bunge Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...